*ni incubator machine full automatic machine yaani inajigeuza mayai yenyewe
*ni incubator machine ambayo inatumia umeme wa kawaida tanessco na pia unaweza kutumia umeme wa solar system battery
*uanguaji wake ni 98% na inaangua mayai ya aina zote
*ni rahisi na imara zaidi katika ufanisi wakee
tupo dar es salaam lilian kibo
mikoani tunatuma pia
dar es salaam na mbeya unalipia mzigo ukikufikia