mashine ya kisasa ya kuvunia mpunga na kukata nyasi
mashine hizi ni 4strock na zinatumia mafuta kidogo sana
zinauwezo wa kulima,kupalilia,kukata nyasi,vichaka,kuvuna mpunga
inaweza kulima heka moja kwa lita tatu
ni ngum na imara zaidi zisizoo halibika kwa urahisi
inakua na panga,jembe,brush,msumeno na kisu