Food chopper 20l ya umeme bei
chakata kwa haraka nyama, mboga, matunda na chakula cha mifugo kwa ufanisi mkubwa ndani ya dakika chache.
ina uwezo mkubwa wa lita 20, visu vya chuma cha pua vyenye ukali wa hali ya juu na inatumia umeme wa 220v kwa kazi nzito na za kila siku.
chaguo sahihi kwa mama wa nyumbani, wafugaji, migahawa na biashara za usindikaji wa chakula. okoa muda na ongeza uzalishaji wako.
dar es salaam | usafiri nchi
#jeff_agriculture_farm_field_is_future #tanzania_na_ufugaji_wa_kisasa #ufugaji_ni_ajira_ya_kudum #kilimo_bora_tanzania