BRUSH CUTTER JEMBE TANO BEI TZS 650,000/= TU
Fanya kazi zote shambani kwa urahisi – kufyeka, kupalilia, kusafisha shamba na bustani kwa sekunde!
Inakuja na jembe tano tofauti – zaidi ya mashine, ni msaidizi wa kila siku kwa wakulima hodari
Rahisi kutumia, yenye injini yenye nguvu na matumizi madogo ya mafuta – haina kuchelewesha kazi yako!
Imara na ya kudumu – imetengenezwa kwa vifaa bora vinavyodumu muda mrefu
Inafaa kwa kila aina ya shamba – wakulima, wafugaji, bustani na hata maeneo makubwa ya kijamii
Dar es Salaam