incubator ya mayai 176 – tsh 900,000 tu!
capacity: mayai 176 – kwa uzalishaji wa vifaranga kwa kiwango kikubwa.
fully automatic – inafanya kazi kwa mfumo wa kisasa bila usumbufu wa mara kwa mara.
hard body ya chuma – imara, imetengenezwa kwa matumizi ya muda mrefu.
umeme – rahisi kutumia kwa ufugaji wa kisasa.
uanguaji hadi 98% – ukifuata taratibu sahihi za uanguaji na mazingira yanayofaa.
bei: tsh 900,000 pekee!
/
dar es salaam, tanzania
anza ufugaji wa kisasa leo — usisubiri kuku wengi, anza kwa teknolojia!
#jeff_agriculture_farm #ufugajiwakisasa #incubatortanzania #ufugajiwakuku #kilimoboratanzania #vifaranga #agriculturetanzania