Zinapatikana kwa Mita 1000 na kwa Mita 2000 nzuri kwa kilimo cha umwagiliaji na zina uwezo wa kuhimili jua Kali na mvua kwa sababu zinarahisha umwagiliaji wa mazao kama mahindi, mpunga, maharage, nyanya, vitunguu, kabichi nakadharika na zinaanza na 15cm, 20cm na 30cm na 60cm.