ni mashine ya kukata kata chakula cha kuku
mashine hii unaweza kukata majani makavu na mabichi
kwa matumizi ya mifugo kama ng'ombe,nguruwe,mbuzi nk
inatumia umeme kidogo sana na inafanya kazi masaa 18
ni ngum na imara zaidi na inachakata kilogram tone moja na nusu kwa saa moja
ni ngum na imara zaidi kuwahi kutokea