SUPER GRO NI NINI?
Ni mbolea ya asili yenye uwezo wa kurutubisha mazao,mimea na ardhi.
SUPER GRO,
Imeweza kujibu changamoto za wakulima wengi.
SIFA ZA SUPER GRO*
Huongeza rutuba katika udongo
Husaidia maua yasipukutishwe na upepo hivyo huongeza wingi wa mazao
Huongeza uwezo wa udongo kutunza unyevunyevu
Huyeyusha hali ya mafuta mafuta kwenye majani ya mmea hivyo hutawanyisha maji kwa urahisi
Huleta rangi ya kijani katika mmea
Huleta nguvu mpya kwa mazao yaliyo lemaaa
Husaidia mimea kukua kwenye kimo kimoja
Huzuia ( fungus) au ukungu kwenye mimea
Haina sumu ni salama kwa binadamu pia na mazingira kwasababu haiathiri udongo
Huongeza wingi wa mavuno pia ukubwa wa matunda
Huongeza uzito wa mazao yote kwa mfano
Kabichi, ngongo, vitunguu, Karoti, mahindi, viazi, korosho, chai, kahawa, maharage, mahindi, kunde na mazao mengineyo.