tre.gif
Sell faster
Buy smarter
  1. All ads
  2. Food, Agriculture & Farming
  3. Farm Animal Feed & Supplements
Dar es Salaam, Kinondoni, 5 hours ago
4 views

Super Gro (Mbolea)

+1
Fertilizers
Type
Other
Brand
Root Crops
Crop Type
Other
Form
Delivery
Across country
1-3 days
Free of charge
Super gro ni nini? Ni mbolea ya asili yenye uwezo wa kurutubisha mazao,mimea,na ardhi. Faida na sifa za super gro •huongeza rutuba kwenye udongo, Husaidia maua yasipukutiike na u pepo hivyo huongeza wingi wa mazao kuvunja zaidi ya mara mbili, Huongeza uwezo wa udongo kutunza unyevunyevu, Huyeyusha hali ya mafutamafuta kwenye majani ya mimea hivyo hutawanyisha maji kwa urahisi, Huleta rangi ya kijan na ustawi kwenye mazao , Huleta nguvu mpya kwenye mazao yaliyo lemaa, Husaidia mazao kukua kwenye kimo kimoja Huzui fungus, au ukungu kwenye mazao, Haina sumu ni salama na rafiki kwa binadamu na mazingira kwa sababu haiathiri udongo, Huongeza wingi wa mavuno pia ukubwa WA matunda , Huongeza uzitowa mazao kwa mfano kabichi,mahindi,vitunguu,maharage na mazao yote Tunatuma mikoan na kwa dar delivery tunafanya, kwa haraka
TSh 176,000
Negotiable

TSh 175,000

≥ 2 pieces
Report Abuse
Safety tips
  • Avoid paying in advance, even for delivery
  • Meet with the seller at a safe public place
  • First, check what you're going to buy to make sure it's what you need
  • Only pay if you're satisfied
frame_left.gif