Super gro ni nini?
Ni mbolea ya asili yenye uwezo wa kurutubisha mazao,mimea,na ardhi.
Faida na sifa za super gro
•huongeza rutuba kwenye udongo,
Husaidia maua yasipukutiike na u pepo hivyo
huongeza wingi wa mazao kuvunja zaidi ya mara mbili,
Huongeza uwezo wa udongo kutunza unyevunyevu,
Huyeyusha hali ya mafutamafuta kwenye majani ya mimea hivyo hutawanyisha maji kwa urahisi,
Huleta rangi ya kijan na ustawi kwenye mazao ,
Huleta nguvu mpya kwenye mazao yaliyo lemaa,
Husaidia mazao kukua kwenye kimo kimoja
Huzui fungus, au ukungu kwenye mazao,
Haina sumu ni salama na rafiki kwa binadamu na mazingira kwa sababu haiathiri udongo,
Huongeza wingi wa mavuno pia ukubwa WA matunda ,
Huongeza uzitowa mazao kwa mfano kabichi,mahindi,vitunguu,maharage na mazao yote
Tunatuma mikoan na kwa dar delivery tunafanya,
kwa haraka