tre.gif
Sell faster
Buy smarter
  1. All ads
  2. Food, Agriculture & Farming
  3. Farm Animal Feed & Supplements
Promoted
Dar es Salaam, Kinondoni, 1 day ago
18 views

Mbolea Ya Super Gro

+1
Fertilizers
Type
Leafy Greens
Crop Type
Liquid
Form
Delivery
Dar es Salaam • Kinondoni
1 day
TSh 5,000 - 25,000
Super Gro ni mbolea ya majani ya kioevu inayosaidia kuongeza ukuaji wa mazao ya chakula kama mahindi, mpunga, maharage, viazi, mihogo, ndizi, mboga za majani na mengineyo. Jinsi ya kutumia: Kunyunyizia kwenye majani Changanya Super Gro na maji kulingana na maelekezo ya chupa. Nyunyizia majani asubuhi au jioni. Kumwagilia kwenye mizizi Changanya na maji kisha mwagia kwenye shina/mizizi. Faida katika mazao ya chakula: Huongeza ukuaji wa haraka wa mimea. Husaidia majani kuwa ya kijani na yenye afya. Huongeza maua, kutunga matunda na punje. Huongeza ukubwa wa mazao kama viazi na mihogo. Huongeza mavuno kwa ujumla. Ratiba ya matumizi: Tumia baada ya mimea kuota vizuri. Rudia kila baada ya siku 7 hadi 14 kulingana na zao.
TSh 200,000
Negotiable

TSh 150,000

≥ 5 pieces
Report Abuse
Safety tips
  • Avoid paying in advance, even for delivery
  • Meet with the seller at a safe public place
  • First, check what you're going to buy to make sure it's what you need
  • Only pay if you're satisfied
frame_left.gif