tre.gif
Sell faster
Buy smarter
  1. All ads
  2. Food, Agriculture & Farming
  3. Farm Animal Feed & Supplements
Dar es Salaam, Kinondoni, 03/06
13 views

Max Pig Super Meat/Kirutubisho Bora Kwa Nguruwe

+1
Supplements
Type
■ FAIDA YA KUTUMIA MAX PIG SUPER MEAT. -Nguruwe hukuwa haraka pasipo kudumaa na kuongeza uzalishaji wa nyamaa Tamu isiyo na mafuta mengi yenye hadhi ya kimataifa. -Nguruwe kuingia joto kwa wakati na kupelekeea kuzaa watoto wengi wenye afya njema. -Huboresha kinga ya mwili hivyo nguruwe hustaimili magonjwa (Sahau kutibu). -Hupunguza gharama ya ulishaji kwani 1Kg ya max pig inaweza kuchanganya kwenye nusu tani ya chakula chako na nguruwe wako na akapata lishe yote (Mlo kamili). -Huondoa harufu mbaya bandani (Hutopata kero za mairani). -Huongeza hamu ya kula kutokana na utamu usio wa kawaida wa max pig pamoja na harufu nzuri. ■ Jinsi ya kuanza kuitumia max pig punde tu baada ya kuipata kutoka Mifugo plus. -Chukuwa 1Kg ya max pig kisha changanya kwenye chakula chako chenye Kg500/ nusu tani ulichokwisha andaaa tayari. .
Max Pig Super Meat/Kirutubisho Bora Kwa NguruweMax Pig Super Meat/Kirutubisho Bora Kwa Nguruwe
TSh 30,000
Negotiable
2 Feedbackview all
Report Abuse
Safety tips
  • Avoid paying in advance, even for delivery
  • Meet with the seller at a safe public place
  • First, check what you're going to buy to make sure it's what you need
  • Only pay if you're satisfied
frame_left.gif