tre.gif
Sell faster
Buy smarter
  1. All ads
  2. Food, Agriculture & Farming
  3. Farm Animal Feed & Supplements
Dar es Salaam, Kinondoni, 08/07
12 views

Mashine Ya Kukoboa Mpunga Ya Umeme 4-in-1 | 800kg/Saha | Bei 8.5m

+1
Tunauza mashine ya kukoboa mpunga ya umeme (4-in-1) ya kisasa sasa ni wakati wa kutumia mashine ya kisasa ya kukoboa mpunga ya umeme 4 kwa 1. mashine hii hufanya kazi zote muhimu kwa ufanisi mkubwa. inapokea mpunga, inausafisha, inaukoboa na kutoa mchele mweupe wenye ubora wa hali ya juu, huku ikitenganisha mchele mzima na uliovunjika kwa mfumo wa mtetemo. ikiwa na uwezo wa kuzalisha hadi kilo 800 za mchele kwa saa, mashine hii inafaa kwa biashara ndogo, za kati na kubwa. imetengenezwa kwa teknolojia ya kisasa, ni rahisi kutumia, gharama zake za uendeshaji ni ndogo, ni rahisi kutunza na imejengwa kwa uimara ili ikuhudumie kwa miaka mingi. utaipata kwa ofa ya 8,500,000/=tsh tu usikose nafasi ya kuboresha biashara yako ya mpunga. wasiliana nasi leo! tegeta, kwa ndevu darajani, njia ya kwenda jeshini.
Mashine Ya Kukoboa Mpunga Ya Umeme 4-in-1 | 800kg/Saha | Bei 8.5m
TSh 8,500,000
Negotiable
2 Feedbackview all
Report Abuse
Safety tips
  • Avoid paying in advance, even for delivery
  • Meet with the seller at a safe public place
  • First, check what you're going to buy to make sure it's what you need
  • Only pay if you're satisfied
frame_left.gif