Smartlock zetu Zina uwezo wa kufungua mlango kwa kutumia;
1: Alama za vidole ( fingerprints) za mhusika
2: Kadi maalum ( card ) za kiusalama
3: Namba za Siri zilizoandikwa na mmiliki
4: Ufungua maalum wa dharura
Vitasa hivi vinatumia application maalum kupita simu inayosaidia kunakili taarifa zote za mlango wako na uhusishwaji na kutoa taarifa zozote endapo kuna mtu anadukua ( hack) taarifa bila ridhaa ya mhusika.