Usiwe na hofu ya kupoteza ufunguo kwani Sasa tunakuletea kitasa ambacho unfunguo wake ni sim yako Vitasa vinatumia
1.Password
2.Card
3.Fingerprint
4.Funguo
Vinafaa kwa milango ya nyumbani front door na milango ya chumbani,Vinafaa kwa ofisi,Vinafaa kwa maduka au supermarket pia