Nafundisha Kutengeneza Beats Kwa kutumia Fl studio Kwa wale wasiojua kabisa (Begginers) Hata kwa wale wanaojua Ila Wanataka Kujiendeleza.Mafunzo yangu yatakusaidia kutengeneza beats kali na Zenye mvuto kwani Nishawahi Kufanya Kazi na wasanii tofauti tofauti Ikiwemo Mbosso,Kontawa,aslay n.k.Namfata Mtu kumfundisha Kwake au Kama Akipendezwa anaweza kuja Kwangu.Kozi Kwa mwezi Utalipa laki 2 pia Mnaweza Jiunga Wawili au watatu Mkachangia.Ndani ya mwezi 1 utakuwa Umeshaweza:
1.Kuelewa User Interface Ya Fl studio(Makolo kolo yote ya software na kazi zake)
2.Kupiga Chords za Miziki mbalimbali
3.Kupanga beat
4.Mixing ya beat
5.Kukamilisha Beat kwa ajili ya Kuuza Mtandaoni au Kufanya kazi Na Msanii
4.Fl studio features+Tips and Tricks
Kwa Mawasiliano +