Umeme unasumbua jaman nimewaletea taa itakayo kufanya uenjoy atakama umeme
umekatika boss
sifa za hii taa rechargeable led emergency light
1.inatunza charge masaa 10
2.ina sehem 2 cha kuchargea kwenye umeme na pia kwenye solar
3.inamwanga wa kawaida na mwanga mkali utachagua mwanga upendao
4.unaweza itundik sehem iko na handle yake au unaweza ikalisha kokote iko na kitako chake
5.mwanga wake unasambaa sana
6.unaweza itumia ata njee yio lazima ndani
7.ukicharge inajaa ndan ya saa moja inakua full kabisa
8.kumbuka taa hii inavigezo vya ubora vilivyo pitishwa na kutambulika toka mataifa makubwa
9.power 9.6
atakama kwako umeme haukatiki chukua hii itakuka kukusaidi muda usio tegemea niamini mie boss,
letewa pokea iwashe kabisa ndio unilipe
usafiri bure ndan ya dar na mkoani pia natuma kwa bei nafuu ya usafiri