tre.gif
Sell faster
Buy smarter
  1. All ads
  2. Seeking Work - CVs
  3. Customer Service CVs
Dar es Salaam, Kinondoni, 09/12/2024
19 views

Sales Agent/Supervisor/Manager

+1
1
Job Type
Part-Time
Employment Status
Self-Employed
Gender
Female
Marital Status
Single
Age
20

Previous Work Experience

Manzese Dar es salaam
Mjasiriamali
Oct 2024 - Now
Education
Nilihitimu shule ya msingi mpakani nikiwa na ufaulu wa daraja A.Nkajiunga na elimu ya sekondari shule ya sekondari ZANAKI nikihitimu kwa ufaulu wa daraja la kwanza kwa masomo ya biashara,nkajiunga na shule ya sekondari TAMBAZA Dar es salaam nkichukua mchepuo wa ECA nkihitimu kwa ufaulu wa daraja la kwanza pia.Kwa sasa nachukua shahada yangu katika chuo kikuu cha Dar es salaam nkibobea kweny masomo ya fedha yaani 'finance' mwaka wa kwanza
Still Studying
Yes
Skills
Mbaka Sasa Nina ujuzi wa kuwasiliana vizuri na ushawishi kwa wateja kutokana kauli angu nzuri kwa wateja na uaminifu.Nina hakika na hilo kwasababu katika umri wangu huu mdogo lakini nimefanya biashara ndogondogo tofautitofauti za família na kufanikiwa kuliko walivokuwa wakifanya watu wazima
Languages
Ndio.Naongea kiingereza na kiswahili
Certifications
Ndio. Mbaka Sasa Nina vyeti viwili vya elimu ambavyo ni cheti cha form four pamoja na cheti cha form six
Highest Qualification
High School (S.S.C.E)
References
Hapana
Kiufupi Nina kila sababu ya kuajiriwa katika kampuni yenu 1.mimi Nina uhitaji wa kazi kwa ajili ya kipato kwa kujikimu na mahitaji lakini pia mnahitaji huduma yangu bora na nzuri katika kampuni kutokana na uzoefu wangu 2.Pia ukiachana na kuhitaji kazi kwa ajili ya kipato Mimi ni mtu ambaye Moja ya kitu nnachofanya kwa furaha ni kuhudumia mtu haswa katika biashara ndomana hata ukiangalia elimu yangu tangu msingi nimebobea kwa masomo hayo tu. Hivyo nitaioenda kazi yangu hivyo ntafanya kwa ufanisi mkubwa 3.Moja ya asset kubwa katika biashara ni kuwa na mfanyakazi mwaminifu,hakika mkihitaji mfanyakazi basi wanapatikana lakini mkihitaji kuongeza asset katika biashara basi mnahuitaji wa huduma yangu.AHSANTENI SANA
TSh300,000 - 500,000
Report Abuse
Safety tips
  • Don't disclose your personal information
  • Do your research before inviting anyone for an interview
  • Don't open the links that aren't included in the candidate's CV
  • Conduct the interview in a safe and secure office environment
frame_left.gif