Nilihitimu shule ya msingi mpakani nikiwa na ufaulu wa daraja A.Nkajiunga na elimu ya sekondari shule ya sekondari ZANAKI nikihitimu kwa ufaulu wa daraja la kwanza kwa masomo ya biashara,nkajiunga na shule ya sekondari TAMBAZA Dar es salaam nkichukua mchepuo wa ECA nkihitimu kwa ufaulu wa daraja la kwanza pia.Kwa sasa nachukua shahada yangu katika chuo kikuu cha Dar es salaam nkibobea kweny masomo ya fedha yaani 'finance' mwaka wa kwanza