Inauzwa laptop ya Lenovo ThinkPad E14 Gen 7 (Intel Core Ultra 7). RAM 16GB na Storage 512GB SSD. Imetumika miezi 4 tu, haina mchubuko wowote na ipo kwenye hali nzuri sana kama mpya (Like New). Inafaa kwa kazi nzito za ofisi na chuo. Ipo Dar es Salaam, tuwasiliane kwa mazungumzo.