Ina ram 16gb,ikiwa na intergrated card ya amd radeon ambayo inakusaidia kufanya kazi za graphic kwa urahisi kama gaming 3d rendering na zinfine
Tupo magomeni mapipa.dar es salaam
Free delivery kwa dar
Nje ya dar tunatuma kwa nauli ya tsh 20,000 tu.laptop ilifika ndo unailipia