Nauza Nissan Murrano .Gari ina hali nzuri sana kama unavyoiona kwenye picha.Haijawahi kupata ajali wala kusumbua chochote,muda mwingi imepaki tu nyumbani.Bei 16,500,000/= ila maongezi yapo kwa mteja aliye serious tu.Mawasiliano : .Gari ipo Mbezi Beach Dar es Salaam.Hakuna udalali