Blackmagic camera ipo sokoni,
Camera ipo complete
Ina lens ya Sigma 18-35mm,
Ina bettery 2 za V-Mount ambayo bettery moja unaweza kushuti kati ya masaa 15 hadi 24 bila kuisha chaji. Kwa video za music unaweza tumia hadi wiki.
Ina wire wa cable unao unganisha bettery na camera.
Ina Cage ambayo ipo complete
Charger ya kuchajia bettery
Camera haina card, card utaweka mwenyewe kulingana na matumizi yako mwenyewe
Camera ipo katika hali nzuri sawa na mpya, imetumika miezi mitatu tu.
Tunapatikana Dar es salaam Bunju A, ulizia IVT VICTORY COMPANY LIMITED au Notation Records Studio
Au piga/ WhatsApp. +