Kitabu hiki kinaitwa The Psychology of Money.
Kinaelezea kwamba mafanikio ya kifedha hayategemei tu akili au elimu ya pesa, bali tabia na namna mtu anavyofanya maamuzi kuhusu fedha.
Morgan Housel anaonyesha kuwa watu wengi hupata shida kifedha si kwa sababu ya kukosa maarifa, bali tamaa, haraka ya utajiri, kulinganisha maisha yao na wengine, au kushindwa kuwa na subira.
Kitabu hiki kinafundisha umuhimu wa kuweka akiba, kuwekeza kwa muda mrefu na kuishi chini ya uwezo wako.
Jipatie Softcopy kwa Tsh 5000
WhatsApp076XXXXXXX