Africa black soap ni kiboko kabisa ? hii ni nzuri kwa ngozi na nywele. Inaitwa magic soap kwa ajili ya maajabu yake ?
Faida za Africa black soap
Inaondoa mafuta usoni kwa wenye ngozi ya mafuta na chunusi
Inaondoa madoa kwenye ngozi hasa yaliyotokana na chunusi
Kung'arisha ngozi na kuweka unyevu
Inatoa harufu mbaya ya kwapa
Inasaidia kufifisha michirizi
Imatumika kama makeup removal
Inatibu pumu ya ngozi
Sabuni hii utaipata only for 10,000 ni nzuri sana inapovu na haiishi haraka