Archive: Safiri Bila Usumbufu Wa Kupanga / Kupangua Vitu Kwenye Begi
Kinondoni, Dar es Salaam, Tanzania
Brand New
Condition
Unisex
Gender
Luggage
Type
Other Brands
Brand
Oxford
Material
Other
Colour
Zipper
Closure
Archive: Safiri bila usumbufu wa kupanga na kupangua vitu kwenye mabegiπ―π―π₯π₯ @30,000/=<br />β6 pieces travelling cubes set<br />β unaekea nguo (za kutosha) /miswaki/chargers /viatu /accessories etc<br />β brand π π<br />πππpanga vitu kwenye begi lako kwa urahisi wakati wa safariπ―π―
Ubuyu mtamu og wa babu issa!
kwa mahitaji ya ubuyu mtamu og wa zanzibar kutoka kwa babu issa karibuni sana
ubuyu unapatikana kwenye vifungashio vya 500 tu!
lakini pia kuna wa kilo kwa 4000/= na ndoo lita 10 kwa 40,000/=
delivery ipo kwa gharama za mteja mwenyewe
kwa bei ya jumla ni 50pcs@300... 15,000/= yako tu inakuletea faida ya 10,000/= karibuni kwenye fursa kwa mtaji wa 15,000/=
napatikana tandika azimio
Eneo lenye Bar , ukumbi na lodge ya vyumba kumi linauzwa kwa bei ya tsh 2,500,000,000/=
eneo limeka vizur kwa matumiz ya sheli or ujenzi wa shughuli za starehe.
Eneo lipo Buza Abiola na lina gusa lami pande mbili
eneo lenye ukubwa wa ekari5 lipo karibu na chuo cha serikali za mitaa hombolo 1km kutoka chuoni na lipo karibu na shule mpya ya msingi, na karibu na zahanati mpya eneo linafaa kwa shughuli mchanganyiko kama makaz, kiwanda, shule, kirimo na kadharika @ecre mil1.5
Fundi wa computer aina zote (desktops / laptop) tunatoa huduma
windows installation
software installation
hardware repair
networking
CCTV installation
etc
call or Whatsapp
plot iko eneo zuri sanaa, limejengeka sanaa. Plot inamsingi ulikamilika, vyumba vinne, jiko, sebule, store etc. Shimo za vyoo zimekwisha chimbwa na kujengewa. Eneo ni safi na tulivu lenye nyumba za standard ya juu likiwa kwenye upimaji shirikishi. Kutoka barabarani ni dakika moja tuu unafika kituo cha daladala za Mbezi Msakuzi
Kiwanja chenye ukubwa wa hekari 12 zilizopimwa. Eneo lipo km 4 kutoka dar zoo. Eneo ni zuri kwa biashara kama kujenga shule, nyumba za makazi, kiwanda, kanisa n.K. Eneo lipo barabarani kabisa
Kiwanja chenye ukubwa wa sqm 3200 kinauzwa kiwanjo kipo barabarani kabisa, huduma zote za kijamii zinapatikana, eneo ni zuri kwa biashara kama hotel, shell, supermarket, frames n.K.
Kwa mawasiliano zaid juu ya manunuzi, piga simu
Kiwanja cha sqm 1316 kinauzwa mtumba mji mpyaa wa serikali ,kiwanja kipo krb na barabara huduma ya maji na umeme zipo pia kiwanja kinapakana na barabara kuu ya mtaa yenye mita 15 na tayar ishachongwa
Matumizi
*Kujenga lodge
*Kiwanda cha matofali
*Makazi / biashara
Note; kiwanja kina daiwa 1272946 hii ni kutokana na ongezeko la sqm 173
Piga simu no
Nauza mashamba msalato Dodoma ni prime area mita 200 kutoka eneo la msalato international airport
Heka moja ni 4.5 milion
Note;Gharama za kwenda site 20000 hela ya mafuta bt kama unausafir wako binafsi gharama za kwenda site ni buree kabsaa
"Manicure Set " ni mjumuiko wa vifaa vya kusafishia kucha .
.
. Uzuri wa manicure set hii ni muundo wake ambao utakuwezesha kusafiri nacho kwenda popote bila ya kupoteza kitu .
.
.Pia inaakupa urahisi wa kuhifadhi bila kutawanyika .
.
.Pia ni original kabisa
.
-nitakufuata hadi ulipo( utanilipia nauli)
-nitakufundisha kwa ukaribu kabisa kuhakikisha unaelewa ninacho kufundisha, (sitoingia mada nyingine kabla hujaelewa ninacho kufundisha)
-nitakupa mazoezi mbalimbali ili kukuza uelewa wako katika mada husika.
- tutapitia maswali mbalimbali wote ambayo yanakupa utata.
-ninafundisha ngazi zote
(form one hadi form six- physics,chemistry,geography and mathematics) na darasa la saba kwenda chini(masomo yote)
-ukiwa na vitabu itakuwa bora zaidi
Kamilisha usajili wa kampuni yako, update information, sajili jina la kampuni yako na upate tambulika kisheria chini ya kifungu cha sheria 2008(Business Act14b)
Na Ntakusaidia kupata certificate of incorporation, certificate of registration kutoka brela ndani ya Siku mbili Tu,
07 - Show Phone