Hii ni saketi ya kisasa kabisa ambayo unawezakuitumia kuchaji betri za gari,solar,lithium battery,kuwasha taa,kutumia kwenye redio,kucha simu na kazi zingine nyingi.zinaingia 5v-32v unaziajasti unavyotaka zinatoka kuanzia 2v-30v ukiwa unaziona kwenye screen yake.pia ina protection,betri ikijaa inastop kuchaji.