Tunauza na kufunga dish pamoja na kuuza spare zake,
azam tv full set ni 160,000. gharama ya ufundi ni 20,000. inakuja na offer ya kifurushi cha mwezi mmoja.
dstv 99,000 gharama ya ufundi ni 20,000 inakuja na offer ya kifurushi cha mwezi mmoja.
startimes ya dish ni 79,000 gharama ya ufundi ni 20,000.
tunauza stendi za tv za ukutani pamoja na kufunga tv ukutani.
tunafunga mfumo wa rf/cable system kwenye hotel,gesti house, lounge n.k
tunafunga cctv camera na electrical fence
tunafanya kazi mikoa yote tanzania karibuni sana