Nyumba ya ghorofa inauzwa
ipo ununio dar es salaam
Nyumba ina vyumba vitano na kati ya hivyo 2 ni self contained,sitting room,dinning room,kitchen,public toilet,store,fenced.
Na pia kuna nyumba pembeni ya chumba na sebule na choo chake kwa nyuma.
Plot size SQM 1000
Bei 450m maongezi yapo karibu sanaaa
PIGA SIMU KWA MAELEZO ZAIDI