Hii nyumba ni mpya kabisa na inajitegemea yenyewe kwenye fensi ina vyumba 3 vikubwa Sana vya kulala kimojawapo ni master kubwa sana, sebule kubwa,jiko kubwa la kisasa na choo cha familia, pia kuna servant coter ya chumba na sebule na choo, nyumba ni mpya kabisa bd kumaliziwa rangi na paving block, ipo kimara temboni upande wa kulia km unaenda mbezi kutoka Morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 2 usafiri ni bajaji sh 500