Nyumba mpya inapangishwa
.
.
Hizi apartment zipo 4 tuu kwenye fensi moja na zimebakia 2 tuu nyumba ni mpya kabisa
.
.
Zina vyumba 2 vikubwa sana vya kulala kimojawapo ni master, sebule kubwa,jiko kubwa na choo cha familia
.
.
Kila apartment inajitegemea kwa kila kitu na kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 15 kwa miguu
.
.
Zipo kimara temboni
.
.
Kodi ni 280,000/=×6 plus na hela ya dalali ambayo ni hela ya mwezi mmoja
.
.
Service charger ni 10,000/= itadumu mpka upate nyumba