Nyumba inapangishwa
.
Ina vyumba 2 vya kulala (kimojawapo ni master), sebule kubwa,jiko na choo cha familia
.
.
Ipo kimara temboni upande wa kulia km unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 15 tuu kwa miguu
.
.Zipo nne kwenye compound moja
.
.
Malipo ya dalali ni hela ya mwez mmoja