#apartment_inapangishwa kimara temboni
.
.
ina vyumba vitatu vya kulala na kimojawapo ni master bedroom, sebule kubwa, jiko na choo cha familia
.
.
.
.
nyumba ipo kimara temboni umbali wa kilometa 1 kutoka morogoro road
.
.
ndani ya fensi zipo nyumba mbili tu na kila apartment inajitegemea umeme na maji
.
.
.
.
whatsapp
calls /