Nyumba nzuri ya kisasa na ipo mtaa mzuri sana inapangishwa bei ni 700,000/= x 6
nyumba hii kwenye fensi moja zipo nyumba 2 tuu kuna hii kubwa ya mbele ndio inapangishwa na inasifa zifuatazo
#vyumba 3 vikubwa sana vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa
#sebule kubwa sana
#dinning
#jiko kubwa la kisasa
#public toilet
#air-condition
#garden
#parking kubwa
#zipo nyumba 2 tuu kwenye fensi moja na zipo mbali mbali
bei ni 700,000/= x 6
apartment hii ipo kimara bucha upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 8 tuu kwa miguu
kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja