Apartment nzuri na ipo jirani na barabara bei mselereko kanisa ni 180,000/= x 6
apartment hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 2 vikubwa vya kulala
#hakuna master bedroom
#sebule ya wastani
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#maji dawasa yanatoka ndani masaa 24
#madirisha ni wavu mzuri uliofungwa kitaalamu
#zipo ndani ya fensi
bei ni 180,000/= x 6
apartment hii ipo kimara suka upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 8 tuu kwa miguu
kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja