Mradi mpya!!
kigamboni buyuni- kanisani.
-ni mradi mzuri na wa kuvutia sana.
-umbali ni 1km toka buyuni center.
-viwanja vimepimwa.
-barabara za mtaa zimechongwa na neighborhood yake inavutia kwa kweli.
-huduma zote za kijamii zinapatikana.
-ni mahali pakununua na kujenga sasa.
-bei ni tshs 4,500 cash na 6000 installment kwa square meter moja.
-kiwanja cha square meter 400 ni 1,800,000 kwa cash na 2,000,000 kwa installment.
-hati utapewa baada ya kumaliza malipo ya kiwanja.
malipo
unaweza lipa cash ama ukaanza na asilimia 50 na inayobaki utamalizia kidogo kidogo ndani ya miezi 18 ukiigawanya kwa kila mwezi.
#site visit ni kila siku.
ofisi zetu zipo kinondoni biafra .
contact:
karibuni sana