Viwanja Vizuri Vilivyopimwa Vinauzwa Milioni 4 Kibaha
1/5
Dar es Salaam, Temeke, Kigamboni
54 views
Viwanja Vizuri Vilivyopimwa Vinauzwa Milioni 4 Kibaha
+1
1
Residential Land
Type
400
sqm
Square Metres
Residential
Property Use
Car Parking, Rain Water Drainage, Water Supply, Electric Supply, Domestic Sewage, Gas Supply
Facilities
Mradi mpya!!
kibaha picha ya ndege.
sofu street.
-ni mradi mzuri na wa kuvutia sana.
-umbali ni 6km kutoka barabara ya lami.
-umbali ni 22km kutoka mbezi(magufuli bus stand).
-viwanja vimepimwa.
-barabara za mtaa zimechongwa na neighborhood yake inavutia kwa kweli.
-huduma zote za kijamii zinapatikana.
-ni mahali pakununua na kujenga sasa.
-bei ni tshs 10,000 cash na 12,000 kwa installment kwa square meter moja.
-mfano kiwanja chenye square meter 400(20m kwa 20m) ni milioni 4 cash na milion 4.8 kwa installment.
-hati utapewa baada ya kumaliza malipo ya kiwanja.
malipo
unaweza lipa cash ama ukaanza na asilimia 50 na inayobaki utamalizia kidogo kidogo ndani ya miezi 3 ukiigawanya kwa kila mwezi.
#site visit ni kila siku.
ofisi zetu zipo ubungo mawasiliano mkabala na stendi ya daladala.
contact:
karibuni sana