Ni viwanja vilivyopimwa tayari.
Viwanja Vipo karibu na maghorofa ya dege.
Bei yetu cash ni 17,000/SQM na Installment ni 18,000/SQM
Lipa kidogo kidogo mpaka umalize.
Mradi upo Kilometres 4 toka Barabara ya kwenda Kimbiji.
Viwanja Vinaanzia million 5.
Viwanja Vipo upande wa bahari na vimepakana na mikoko.
Kutoka site hadi baharini ni mita 400.
Viwanja vipo umbali wa Kilometre 17 kutoka fery na Kilometres 19 kutoka darajani.
Kutembelea site ni kila siku na hakuna gharama yoyote.
Tuna miradi mingine maeneo ya Cheka, Mwasonga,Mwongozo, Kisota, Bunju Mji mpya, Madale Mivumoni,Vikawe Kimele Baobab, Misugusugu Kibaha, Pangani Kibaha, Vigwaza... Dodoma tuna viwanja maeneo ya Chamwino Ikulu, Mtumba,Chahwa, Kitelela, Mahoma Makulu,Nala Chihoni, Chidachi, Njedengwa, Vikonje B Kwa Mzungu,Nala Ringroad, Msalato Airport.