Viwanja vipo mita 800 kutoka barabara ya lami mwendo wa dakika 4 hadi 5 kufika kwenye mradi. Mradi upo nyuma ya chuo cha afya kigamboni city collage of health and science pia vipo tambarale
Nyumba inauzwa chapchap
sqm : 800
loc : kigamboni
umiliki : sales agreement,
_________________________________________
call whatsapp &sms
hii sio ya kuikosa, ... ! piga simu ukague... .
.
-4bedrooms 1 self
-sitting room
-public toilet
-kitchen
umiliki serikali za mtaa
eneo zuri linafikika na huduma zote zipo
kupelekwa site free
____________________________________________
mahitaji yako ya nyumba / vyumba/maeneo ya biashara ... ya kupanga na kununua... mashamba/viwanja/ magari nk ... usisite wasiliana nasi haraka
mawasiliano
Property investors (pic) inautangazia umma juu ya uuzaji wa viwanja vilivyopo ndani ya miradi yake maeneo ya #kigamboni
viwanja vyote vimepimwa ✅
viwanja vinaanzia 3.6 mil tu
Eneo: amani gomvu (kigamboni)
(karibu na chuo cha afya)
Umbali: 1km kutoka barabara ya lami
Ukubwa: 300sqm , 600 sqm
Bei: 12,000 kwa sqm (cash)
au 15,000 kwa sqm (installment)
malipo ya instalment ni kitaratibu mpaka kwa miezi 9 bila riba
kwenda kuona site ni kila siku, bila gharama yeyote
House for sale kigamboni mikwambe.
nyumba mpya ina vyumba 3 kimoja master, sitting & danning na fance kubwa.
ukubwa wa kiwanja mita 950
call
bei milion 60
Viwanja vipo mita 800 kutoka barabara ya lami mwendo wa dakika 4 hadi 5 kufika kwenye mradi.
Mradi upo nyuma ya chuo cha afya kigamboni city collage of health and science pia vipo tambarale
Tunauza viwanja vipo kigamboni maeneo ni. dege, kibada, geza ulole, kibugumo, kimbiji, mwasonga, na kisiwani. ukubwa viwanja kuanzia square meters 40 na kuendelea. utakatiwa ukubwa kulingana na maitaji yako. bei maelewano. karibuni wote
Plots for sale dar es salaam
property investors (pic) inatangaza uuzaji wa viwanja #mwembemdogo kigamboni kwa bei nafuu✅
viwanja vimepimwa ✅
huduma zote zipo, umeme, maji ✅
Eneo:mwembe mdogo (kigamboni)
umbali: 1km kutoka barabara ya Lami
ukubwa: 600sqm
ofisi zetu
ubungo plaza
Ofa ofa ofa !!!
Mradi mpya
kimbiji golani iii.
-ni mradi mzuri na wa kuvutia.
-umbali ni 30km toka ferry.
-umbali ni 3km toka kimbiji center.
-mbele ya kiwanda cha cement (nyati).
-viwanja vimepimwa kuanzia square meter 400 yaani20m kwa20m na kuendelea.
-bei ya square meter moja ni tshs 3750
-hati hutolewa baada ya kumaliza malipo.
Malipo!
Ni milioni 1.5 cash kwa kiwanja kimoja chenye square meter 400.
Site visit ni jumatano na jumamosi.
#usipange kukosa
🙏🙏🙏🙏
Kigamboni kibada full shangwe.
Sqm:1070
4 master bedrooms.
2 sitting rooms
1 dinning room
1 store room
1 public toilet.
Garden, parking space.
Location of the house: 2kilometers from the ocean & 2 kms from yhe main road.
8 kms from kigamboni brige
15 kms from ferry