#good apartment_for rent kibamba chama
.
.
ina vyumba viwili vya kulala vikubwa (kimoja master), sebule kubwa, jiko kubwa na choo cha familia
.
.
.
.
ipo kibamba chama njia ya kwenda #hospitali ya muhimbili (mloganzila) umbali wa kilometa moja kutoka morogoro road
.
.
kwenye fensi zipo mbili tu, parking kubwa, alminium windows, paving blocks, mazingira mazuri sana.
.
.
inajitegemea umeme na maji, pia maji yanatoka ndani
.
.
#nb ipo kwenye hatua za mwisho yaani ipo kwenye finishing za mwisho kulipia ruksa #nyumba_ni_mpya_ya_kisasa