#nyumba nzuri sanaa!
.
.
vyumba viwili vya kulala vikubwa (kimoja master), sebule kubwa, choo cha public kizur sana, jiko kubwa na store
.
.
kodi 250,000 × 6 (kodi ilipwe miezi 6)
.
.
ipo kimbamba njia ya kwenda #hospitali ya muhimbili (mloganzila)
.
.
kwenye fensi zipo mbili tu, parking kubwa, alminium windows, paving blocks, mazingira mazuri sana.
.
.
inajitegemea umeme na maji, pia maji yanatoka ndani