IPad Air 1 16GB – WiFi – TSh 50,000
iPad Air 1, 16GB, WiFi pekee.
Kioo kimepasuka.
Inawaka inapowekwa kwenye chaji.
Kwa sasa haiongezi asilimia ya chaji.
Haijatumika kwa takriban mwaka mmoja.
Inauzwa kama ilivyo.
Bei inaongeleka
Piga kwa simu ya kawaida au whastapp au whastapp kwa namba066XXXXXXX