Tunauza mpya tu sio used tupigie
.
ukinunua tv kwetu hutakuja kukutana na tatzo la muvi kugoma kuonyesha au kutoa sauti inamaana haitachagua movies bali itaplay zote kwakuwa tumegundua namna ya kuongeza program ili usikutane na hayo matatizo ambayo sshv yamekuwa sugu...
.
hizo program ni sisi tu ndo tunajua jinsi ya kuongeza baada ya kufanya utafiti kwa muda mrefu na tunakuhakikishia kuwa ikigoma kuplay muvi yoyote irudishe uchukue hela yako
.
tv ya vonne ni tv nzuri sana ina ubora wa juu sana hd yake ni kali na inaplay hd warranty mwaka
.
usipigwe tena kwenye manunuzi ya bidhaa za electronics sisi hatuuzi kwa tamaa kabisa, yaani bei zetu ni kitonga hatuna tamaa kama wengine tunazo bidhaa zote brand zote tv zote hisense, samsung, lg na mafriji aina zote, bei zetu huwezipata popote pale
tu follow insta = future_vision_electronics_tz