Smart tv
Tv zetu ni mpyaa sealed
Ni original
Warranty mwana mzima(12month)
Mkoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa malipo baada ya kupokea mzigo wako
Dar es salaam tunafanya delivery popote ulipo malipo baada ya kupokea mzigo
Delivery kwa gharama za mteja lakini ni bei nafuu
Duka letu lipo kariakoo mtaa wa agrey na likoma mkabala na bank ya mkombozi
Mawasiliano piga068XXXXXXX