Ili ujibiwe haraka usitume meseji nipigie simu
.
kama umechoshwa na yale mambo ya muvi kugoma kuonesha au kutoa sauti njoo uchukue hii ikigoma kuplay movie yoyote njoo uchuke hela yako, hii ni imara sana ina hd kali sana na warranty uhakika mwaka
.
delivery tunafanya na utalipia baada ya kupokea mzigo wako na kujiridhisha kuwa mzigo wako uko salama
.
usishangae unafuu wa bei zetu kwakuwa sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine hivyo usikubali kupigwa tena na kupoteza pesa zako nyingi kwenye manunuzi ya electronics
.
sisi tutakuuzia bei ndogo, tunazo bidhaa zote brand zote tupigie kabla hujanunua chochote kwa wenye tamaa tukupe bei zetu nafuu ulinganishe na zao ili uone utofauti,
.
zipo bidhaa zote kama vile tv, sabufa, sound bar, pressures cookers, majiko gesi na umeme aina zote, brand zote zipo uliza
.
tuko kariakoo karibu na kanisa la kkkt