Karibu ujipatie Laptop special za watoto, kwa ajili ya
kujifunza na kusoma kisasa zaidi , laptop hzi hazina
tofauti sana na laptop za kawaida
ZIJUE SIFA NA FAIDA ZA LAPTOP HZI SPECIAL KWA
WATOTO
1. zinatumia mfumo wa Androinds
2. Zipo Touch screen and Non touch
3. Anatumia Mtoto kuanzia miaka 2 -14
4. Ndani zimejaa masomo mbali mbali from nursery
class 7
5. zina Application za games ,Cartoon, youtube and
others
6. zinaconnect internet kwa Wifi, Hotspot, and modem
pia zina HDMI port and 2 USB Ports
7. Ni za kucharge na umeme na zinaweza kukaa na betril
zaidi ma 5 na kuendeleaa inategemea na matumizi
8. zina Ram 1gb and Hard Disk 8gb
9. pia unaweza kutumia kwenye daycare , Nursery and
primary schools kwa ajili ya kufundishia watoto kisasa na
kwa vitendo
Laptops hizi ni imara sana , hutojuta kumchukulia