Sifa kuu (top features):
piga simu moja kwa moja (dual sim): inatumia laini mbili (dual nano-sim 4g volte). piga simu na uongee kwa urahisi kabisa kama smartphone yako.
betri inayodumu sana: betri kubwa ya 6650 mah! chaji mara moja na ufurahie matumizi ya muda mrefu bila chaji kuisha haraka.
nzuri kwa wanafunzi: kifaa bora kabisa kwa madarasa ya mtandaoni (online classes), kusoma pdf, netflix, na whatsapp.
kamera nzuri: kamera ya 8mp, ni kamili kwa video calls na picha angavu.
uhifadhi mkubwa: inakubali memory card (microsd) hadi 256gb.
kioo (display): kioo kizuri cha inchi 8.7 ips lcd.
zawadi (bonus): inakuja na kava mbili nzuri (2 premium covers) bure kabisa! first time in tanzania international edition