📦 Samsung Tab A9 & A9+ tunazouza ni MPYA kabisa (Brand New). Non Active✅
⚖ TAB A9 4G
• 64GB / 4GB — 410,000/=
• 128GB / 6GB — 450,000/=
⚖ TAB A9+ 5G
• 128GB / 8GB — 730,000/=
Watu wengi wanauliza, “A9 na A9+ tofauti yake ni nini?” 🤔
Hizi hapa tofauti muhimu kwa lugha rahisi 👇
⚖ SAMSUNG TAB A9
🔹 Screen: 8.7-inch — ndogo na rahisi kubeba
🔹 Battery: 5,100mAh
🔹 Inafaa kwa: WhatsApp, YouTube, kusoma, browsing na matumizi ya kawaida.
🔹 4G LTE inapatikana kwenye baadhi ya versions.
⚖ SAMSUNG TAB A9+
🔹 Screen: 11-inch — kubwa zaidi kwa movies, kazi na masomo
🔹 Battery: 7,040mAh
🔹 Ina 5G kwenye version ya 5G
🔹 Inafaa zaidi kwa multitasking, entertainment, online classes na matumizi ya screen kubwa.
📍 Kariakoo – Uhuru Tower
🚚 Delivery inapatikana Tanzania nzima075XXXXXXX