*■Faida za YouthEver*
.husaidia kuweka ngozi imara
. husaidia kuweka ngozi isizeeke kwani imetengenezwa kwa matunda na mbegu za zabibu
antiaging kwani ina NMN ndani yake kwahyo inadeal na DNA repair na kutengeneza tissue nyingine imara
.husaidia kutibu na kuondoa magonjwa ya uzeen kam kisukar, pressure,shida za miguu , osteoporosis kwa wanawake
.sio hivyo tuu husaidia pia ktk fertility wanawake wenye shida za uzazi kushindwa kubeba ujauzito hiii iko vizur Sana maan inarejesha kila kiungo kilichoanza kuzeeka kuwa kipya
. husaidia ktk kuweka mfumo mzima wa digestive system kuwa vizur sana kwasbb ya watu wengi ulaji wa chakula ni mubaya kwahivyo sasa hiii ni product nzuri sana kwa sabb imetengenezwa kwa matunda
ni tamu kam wine bt the good thing ni kwamba haian alcohol ndan yake kwasbb ya matunda yalipo ndan yake
Inasaidia kurefusha maisha na kuweka mwili imara mda wote