Vitamin c
ni kirutubisho kilichotengenezwa katika mfumo wa pipi ndani yake kina mchanganyiko wa vitamini c, kwa matumizi ya watoto
kazi zake:
1).inaongeza hamu ya kula.
2). inasaidia katika ukuaji wa mifupa na ubongo.
3). inasaidia matatizo ya macho kutokana na vitamin c kwa wingi iliyo ndani yake.
5).inasaidia ukuaji wa mifupa na kuondoa changamoto za ulemavu kwa mtoto.
6). inamsaidia mama mjamzito kukuza vizuri kiumbe tumboni kutokana na wingi wa madini c
7).inasaidia kushikiria mji wa mimba mama asiweze kujifungua kabla ya wakati( miscarriage)
8).husaidia watoto ambao viungo vyao vemekakamaa au kulegea sana isivyo kawaida
9).husaidia kuimarisha kinga ya mwili ya mtoto na kufanya asishambuliwe na maradhi ya mara kwa mara
10).husaidia watoto ambao ukuaji wao sio mzuri,hawaongezeki uzito kulingana na umri wao