Hii inaitwa forever bits and peaches ni kinywaji asilia kilichotengenezwa na mmea wa alovera, peach na matunda mengine ili kuifanya radha yake kuwa nzuri, faida ya supplement hii ni kama ifuatavyo -husaidia katika digestition system mwilini - huongeza hamu ya kula mara kwa mara(apetite) -hutibu maumivu ya tumbo -usafisha utumbo wa chakula -FAIDA ZA KUTUMIA ARTIC SEA1.Omega 3 Inatumika kujenga nerves za mtoto aliye tumboni, mtoto na hivyo kumjenga mtoto vizuri haswa kwenye ukuaji wa Ubongo(nerve development of the fetus)Forever lite ultra inakurahisishia wewe unayefanya diet kufata mpangilio wako sahihi wa lishe yako, lishe hii ina virutubisho vyote mwili wako unavovihitaji kama utkw kwenye njia ya kupunguza uzito, itumie kama lishe mbadala either usiku usipate chochote uitumie hii