Mwani unasaidia sana
Kwa kusafisha mfumo wa upumuaji na kuondoa
kamasi ambazo huzuia upataji wa hewa safi na
kusababishakukoroma.
Watumiaji sigara pamoja na wafanyakazi kazi
wa maeneo yenye vumbi na moshi tu nashauri
kujitahidi kutumia unga wa mwani kujiepusha
na madhara makubwa ya kuharibika kwa
mfumo wa hewa madhara makubwa na hata
hata kupekekea kifo cha ghafla.
Mwani unaimarisha sana kinga ya mwili
Mwani Hu Huu pia husaidia mfumo wa uzazi
wa wanamume na wanawake.
Unasaidia mwili kupata nishati a kuimarisha
misuli ya kufanya kazi.
Tumia Unga wa mwani Kwa wale wanaotamani
kupunguza uzito.
Ukitumia Unga wa mwani utakusaidia wewe
kuimarisha nywele na ngozi.
Ukitumia Vidonda vya
tumbo kimya havita kusumbua na
usingizi napata vizuri kama mtoto
mchanga.
-Mwani Unaondosha gesi tumboni na harufu
mbaya.
-mwani huleta afueni ya kiungulia na kukimaliza
ikiwa unakula mwani endelevu.
-mwani unasaidia kutengeneza kuta wa tumbo hivyo huleta afueni ya vidonda vya tumbo